Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Sita

Kiswahili

Methali na Nahau

takriban dakika 6 kusoma

Mada za sehemu hiiKuonesha Uelewa Wa Jambo Ulilolisikiliza Au KulisomaMada 6

Kamilisha methali zifuatazo

  1. Ada ya mja hunena, muungwana ni kitendo
  2. Avumae baharini papa, na wengine wamo
  3. Furaha ya mwenye meno, kibogovo hashiriki naiaii yaku iiaianiu &wa niwenzano
  4. Hapana siri ya watu wawili
  5. Hen kenda shika kuliko kumi nenda rudi
  6. Ivumayo haidumu
  7. Jembe halimtupi mkulima
  8. Kata pua uunge wajihi
  9. Kataa neno usikatae wito
  10. Kauli ni bora kuliko mali
  11. Heri umfadhili mbuzi bmadamu ataakuudhi
  12. Kipendacho roho, hula nyama mbichi
  13. Kitanda usichokilalia huwajui kungum wake
  14. Kuishi kwingi ni kuona mengi
  15. Kuku mgeni hakosi kamba mguuni
  16. Kuteleza siyo kuanguka
  17. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
  18. La kuvunda halina ubani
  19. Leo ni leo asemaye kesho ni mwongo
  20. Macho havana pazia
  21. Maji hufuata mkondo
  22. Mali bila daftari hupotea bila habari
  23. Manahodha wengi chombo huenda mrama
  24. Mbio za sakafuni huishia ukingoni
  25. Mkataa pema pabaya panamuita
  26. Mkono mtupu haulambwi
  27. Mla mla leo mla jana kala nini?

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza