Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Tano

Kiswahili

Kauli Halisi na Kauri Taarifa

takriban dakika 1 kusoma

Mada za sehemu hiiKuwasiliana Katika Miktadha MbalimbaliMada 6

Kauli halisi

Maana

Haya ni maneno yanayozungumzwa moja kwa moja na mzungumzaji, mfano: nenda kaoshe vyombo. Kwa kawaida kauli halisi huwa katika wakati uliopo na pia kuwekewa alama za nukuu mfano, "nendeni sokoni".

Sifa za kauli halisi

  1. Kutumia nafsi ya kwanza.
  2. Kutumia wakati uliopo.
  3. Kutumia alama za funga na fungua semi.

Mfano: John alisema, "Wote mnaitwa na mwalimu wa darasa."

Kauli taarifa

Maana

Ni uzalishaji wa maneno au taarifa iliyosemwa na mtu mwingine. Hapa alama za nukuu hazitumiki.

Mfano: Alisema nipike chakula wale.

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza