Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Tano

Kiswahili

Sentensi na Kuunda Maneno

takriban dakika 3 kusoma

Mada za sehemu hiiKuwasiliana Katika Miktadha MbalimbaliMada 6

i) Nukta.

Hii huwekwa mwisho wa sentensi ni pumziko kubwa, hutumika katika kufupisha maneno, katika hesabu kuonyesha sehemu isiyo nzima, kuonyesha senti katika pesa.

ii) Mkato au koma

Hii ni pumziko dogo na pia hutumika pale unapo orodhesha vitu mfano karanga, mtama, mahindi, na njegere, hutumika kugawanya mawazo katika sentensi, kutoa maelezo zaidi na katika tarakimu, kugawa elfu.

iii) Mshangao !

Hii huonesha mshangao wajambo, mfano: Ah! Ehe! na kuigiza tanakali za sauti.

iv) Ulizo ?

v) Funga semi na fungia semi

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza