Mada za sehemu hiiKuwasiliana Katika Miktadha MbalimbaliMada 6
Kueleza Shughuli Mbalimbali
Mwanafunzi anazo shughuli ambazo anatakiwa kuzifanya kila siku awapo shuleni. Shughuli hizo ni:
- Kuwaiti mapema shuleni kwa muda uliopangwa.
- Kufanya usafi katika eneo alilopangiwa na kiranja.
- Kusimama mstarini na kukaguliwa usafi, kuimba wimbo wa taifa na wimbo wa shule.
- Kuingia darasani na kuhudhuria vipindi vyote siku husika.
- Kufanya kazi zote za darasani anazotoa mwalimu.
- Kufanya masahihisho kwenye sehemu alizokosea katika masomo.
Mwalimu
Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.
Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.
Ingia ili kuuliza