Msingi · Darasa la Nne
Historia ya Tanzania na Maadili
MtaalaMtaala wa 2023
Jaribio fupi linalobadilika kuona ulipo.
Fanya jaribioKiwango
Mada
Kulinda historia ya Tanzania, urithi na maadili ya Taifa
Mada 1Kumudu maarifa ya jamii inayomzunguka
Mada 1
Kumudu historia ya Tanzania na maadili kabla ya ukoloni
Mada 9Kuelezea mifumo mbalimbali ya utunzaji na ukuzaji wa maadili ya jamii za Kitanzania kabla ya ukoloni
Mada 3Kuelezea maendeleo ya jamii za Kitanzania na maadili yake kabla ya ukoloni
Mada 6- Kueleza dhana ya maendeleo ya jamii (maana, viashiria na umuhimu)→
- Kueleza shughuli za maendeleo ya jamii na uchumi (kilimo, ufugaji, uhunzi, ususi, ufinyanzi, uvuvi na makazi) na maadili yake kabla ya ukoloni→
- Kubaini michango ya shughuli za uchumi kabla ya ukoloni katika maendeleo ya jamii→
- Kubaini ushirikiano na uhusiano wa kiuchumi na kijamii baina ya jamii kabla ya ukoloni→
- Kubaini mchango wa maendeleo ya sayansi na teknolojia ya asili katika kuendeleza shughuli za uchumi na maadili kabla ya ukoloni→
- Kubaini wajibu wa jamii katika kuendeleza shughuli za uchumi na maadili yake kwa sasa→
Kumudu Historia ya ujenzi wa Taifa la Tanzania na maadili katika kipindi cha 1961-1966
Mada 2Kutumia alama za Taifa kama utambulisho wa Tanzania
Mada 2