Sonzaschool
Rudi

Sekondari ya Juu · Kidato cha Sita

Kiswahili 2

Uhakiki wa ushairi

takriban dakika 37 kusoma

Mada za sehemu hiiUhakiki Wa Kazi Za Fasihi AndishiMada 4

UHAKIKI WA USHAIRI

Jina la kitabu: Kimbunga Mwandishi: Haji Gora Haji Mchapishaji: TUKI Mwaka: 1995

Kimbunga ni diwani inayozungumzia juu ya mawaidha mbalimbali katika maisha pamoja na suala zima la ujenzi wa jamii mpya. Katika diwani hii, mwandishi ametoa maadili na maonyo mbalimbali ya kufuata ili kufanikisha swala la ujenzi wa jamii hapa nchini.

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza