Sonzaschool
Rudi

Sekondari ya Kawaida · Kidato cha Tatu

Kiswahili

vishazi

takriban dakika 3 kusoma

Mada za sehemu hiiMjengo Wa TungoMada 3

Kishazi ni tungo yenye kitenzi. Kitenzi hicho kinaweza kuwa kinachojitosheleza na hapo huitwa kishazi huru au kikuu, au inaweza kuwa kitenzi kinachojitegemea na hivyo huitwa kishazi tegemezi. Kishazi ni tungo yenye kitenzi ambacho kinaweza kujitosheleza na kukamilisha ujumbe uliokusudiwa na mzungumzaji au kuwa na kitenzi kisichoweza kutegemea kingine.

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza