Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Saba

Kiswahili

Tenzi

takriban dakika 2 kusoma

Mada za sehemu hiiTenzi Na NgonjeraMada 2

Tenzi ni tungo ndefu za ushairi zinazoelezea juu ya jambo fulani na huwa na pande moja, yaani huwa na vina vya kati tu.

Utenzi huweza kuwa maelezo ya wasifu wa mtu fulani, jambo la kihistoria au jambo lolote zito linaloelezwa kwa maelezo marefu. Tenzi huwa na beti nyingi kuliko mashairi na pia hutegemea jambo lenyewe na ufundi wa mtunzi.

Swali

Tenzi lina mistari mingapi kwa kila beti?

Ingia ili kuwasilisha jibu lako na lihesabiwe katika umahiri wako.

Ingia ili kufanya mazoezi

Mwalimu

Umekwama? Niulize chochote kuhusu mada hii.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu swali hili.

Ingia ili kuuliza