Sonzaschool
Rudi

Sekondari ya Kawaida · Kidato cha Tatu

Kiswahili

Tamthiliya

takriban dakika 2 kusoma

Mada za sehemu hiiUtungaji Wa Fasihi AndishiMada 2

Tamthiliya ni utungo wa kidrama ambao ni aina mojawapo ya maandishi ya sanaa za maonyesho. Ni sanaa inayoonyeshwa kwa ufundi Tamthiliya huonyesha matendo ya wanajamii kwa njia ya kuigiza, maigizo ambayo hatimaye huweza kuonyeshwa kwenye majukwaa katika sanaa za maonyesho

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza