Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Tano

Kiswahili

Sifa za vitendawili

takriban dakika 1 kusoma

Mada za sehemu hiiVitendawiliMada 3

Sifa za Vitendawili

  • Vitendawili huwa na mwanzo maalum (kitendawili - tega)

  • Vitendawili huwa ni baina ya mtegaji na mteguaji

  • Vitendawili huwa ni swali na jibu

    Swali: Nyumba yangu haina mlango

    Jibu: Yai

  • Vitendawili hurejelea vitu vinavyopatikana katika mazingira na vinavyojulikana. Mfano: Kuku wangu katagia mibani — nanasi

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza