Mada za sehemu hiiIshaMada 2
- Aina za insha
- Muundo wa insha
Kimuundo insha imegawanyika katika sehemu nne nazo ni:
- Kichwa cha insha
- Utangulizi wa insha
- Kiini cha insha
- Mwisho wa insha
Huandikwa mwanzoni kabisa mwa insha, na pia huandikwa kwa herufi kubwa na kupigiwa mstari. Vilevile huandikwa katikati ya mstani.
Hii ni sehemu ya pili ya insha. Sehemu hii hueleza kwa ufupi juu ya jambo linalozungumziwa.
Hii ni sehemu kuu kabisa katika insha. Hufuata baada ya utangulizi. Hii ni sehemu ambayo mwandishi huelezea kwa undani jambo alilokusudia kuliandika. Jambo analokusudia kuliongelea lazima liwe katika aya.
Hii ni sehemu ya mwisho ya insha. Hapa mwandishi hufanya ufupisho wa yote aliyoyaandika. Pia mwisho wa insha huanza katika aya.
Mwalimu
Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.
Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.
Ingia ili kuuliza