Mada za sehemu hiiIshaMada 2
- Aina za insha
- Muundo wa insha
Maana ya insha
Insha: ni kifungu cha maneno kilichopangwa kwa mpangilio maalumu wenye kueleza jambo fulani lililopangwa katika aya. Jambo hilo laweza kuwa ni ugonjwa, wanyama n.k.
Aina za insha
Zipo aina mbili za insha nazo ni:
- Insha za kisanaa: Insha ya kisanaa ni ile inayotumia lugha ya kisanaa yaani yenye tamathali za semi kama vile sitiari, tashbiha, taniaba na mubalagha.
- Insha zisizo za kisanaa: ni aina ya insha ambayo haitumii lugha za kifasihi isipokuwa hutumia lugha ya kawaida tu.
Mwalimu
Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.
Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.
Ingia ili kuuliza