Sonzaschool
Rudi

Msingi · Darasa la Saba

Kiswahili

Hotuba

takriban dakika 6 kusoma

Mada za sehemu hiiHotubaMada 1
  1. Hotuba

Hotuba ni mazungumzo yanayofanywa na mtu kuhusu suala fulani mbele ya kikundi cha watu. Hotuba inaweza kutolewa na mwananasiasa kwa wananchi, walimu kwa wanafunzi, au mhubiri kwa waumini.

Hotuba hujikita kwenye suala kuu fulani, na inaweza kutolewa bila kuandaliwa. Hata hivyo mara nyingi hotuba huandikwa ili kumtayarisha msemaji vilivyo kuhusu lugha atakayoitumia, masuala atakayoyaongelea na mtiririko wa mawazo. Hata hivyo, hotuba nzima huwa haiandikwi, kwani kuna haja ya atakayeitoa kutayarisha vidokezo vya kumwelekeza.

  • Kuelimisha watu, mfano jinsi ya kujikinga na Korona (Covid-19).
  • Kutoa habari, mfano Waziri wa Elimu kueleza mabadiliko ya mtaala wa elimu.
  • Hotuba hupata jina lake kutegemeana na mada yake. Inaweza kuwa hotuba za kiafya, kisiasa, kielimu, kimazingira n.k.

Swali

Sehemu gani ya hotuba hurejelea mada na hadhira?

Ingia ili kuwasilisha jibu lako na lihesabiwe katika umahiri wako.

Ingia ili kufanya mazoezi

Mwalimu

Umekwama? Niulize chochote kuhusu mada hii.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu swali hili.

Ingia ili kuuliza